Mabadiliko Ya Bei Ya Bidhaa Za Green World

 

Moja ya maduka ya Green World linafanya kazi zake kupitia ofisi ya Green World ya Nairobi, Kenya. Duka hili limewajibika kubadilisha bei ya bidhaa za kampuni hapa kwetu kutokana na kuwa thamani za shilingi ya Kenya na Tanzania kwa dola zinatofautiana na kwa kuwa shilingi moja ya Kenya inauzwa kwa wastani wa shilingi 22 za Tanzania.

 

Bei Nov 2017

 

Mabadiliko haya ya bei yanaanza tarehe mosi Novemba 2017.

Ofisi ipo katika harakati ya kubadilisha nyaraka nyingine nyingi za kufanyia kazi. Mategemeo ni kuwa kila kitu kitakuwa sawa hadi kufika mwishoni mwa mwezi huu wa Novemba.

GO GREEN    GO SUCCESS.