Timu T029 Yahamishiwa Nairobi

 

IT Room - Nairobi office

CHUMBA CHA IT NDANI YA OFISI YA GREEN WORLD YA NAIROBI

 

Baada ya ofisi ya kampuni ya Green World kufungwa hapa Dar es salaam – Tanzania, shughuli za kampuni hiyo zinaendelea kupitia maduka ya wanachama. Wanachama hao wenye maduka waliamua kuendesha shughuli zao sehemu tofauti.  Wakati wengine walichagua kwenda  Lusaka – Zambia, wengine walielekea Nairobi – Kenya.

Timu nzima inayopata huduma kutoka duka T029 imehamishiwa Nairobi, maana yake ni kwamba BV za members wa duka hilo zitapelekwa huko kila mwezi na bonasi zitapatikana kutoka ofisi hiyo ya Nairobi. Ili kuona shughuli zako za kibiashara, kuna mabadiliko kidogo katika ku-login kwenye page yako. Pata maelekezo kamili kutoka link hiyo hapo chini:

N.B. Badala ya TZ01 andika KE01

 

http://topantiagingproducts.sagalawebs.com/namna-ya-kuingia-kwenye-tovuti-yako-ya-green-world/

 

Kwa mara ya kwanza kupitia utaratibu huu, bonasi za desemba 2017 zimepatikana kutoka Nairobi.

Laurian.

                WE CARE   WE SHARE